BREAKING NEWS

Category 5

?max-results="+numposts2+"&orderby=published&alt=json-in-script&callback=recentarticles6\"><\/script>");

Category 6

?max-results="+numposts5+"&orderby=published&alt=json-in-script&callback=recentarticles8\"><\/script>");

Category 7

Thursday 8 August 2013

Namna ya kuzuiya sehemu ya FACEBOOK CHAT

  Watu Wengi  wana Tatizo la kutopenda kuona Sehemu ya kuchati wakati Yupo mtandaoni(FACEBOOK ONLINE CHAT) . Lakini kuna wengine wanapenda kuona hiyo Sehemu ya kuchati.


Namna ya Kuitoa kwa kutumia BROWSER yako
Kuna ADONS na EXTESION ambazo unatakiwa kuziDISABLE hili ambayo itakufanya usione sehemu ya kuchati  ADONS hisi ni salama na ni buree kabisa
 

Kwa wale ambao wapendi kuona sehemu ya kuchati kuna Hatua chache na raisi za kufuata:
KWA WATUMIAJI WA BROWSER  YA GOOGLE CHROME FUATA HATUA ZIFUATAZO:
 






HATUA .2
 Sasa bonyeza kwenye ADD TO CHROME na yenyewe itajichomeka (WILL AUTOMATICALLY INSTALL) kwenye    BROWSER yako.

 HATUA .3
 Mambo yote safi kabisa na sasa kuwa huru mbali na usumbufu.

KWA WATUMIAJI WA (MOZILLA FIREFOX)



HATUA 1.
Pakuwa (DOWNLOAD) Hapa   Grease Monkey.



HATUA 2.
Sasa Chomeka INSTALL FACEBOOK STEALTH

HATUA 3.
Mambo yote safi furahiya na Ujenzi online Kwa kulike Page yetu Ujenzionline
 
Copyright © 2013 Ujenzi Online
Share on Blogger Template Free Download. Powered byBlogger