BREAKING NEWS

Category 5

?max-results="+numposts2+"&orderby=published&alt=json-in-script&callback=recentarticles6\"><\/script>");

Category 6

?max-results="+numposts5+"&orderby=published&alt=json-in-script&callback=recentarticles8\"><\/script>");

Category 7

From our Blog

Sunday, 23 June 2013

Gharama za simu kupanda kuanzia Julai Mosi

Kufuatia kuongezwa kwa kodi katika huduma za simu za mkononi , gharama za huduma hizo zinatajiwa pia kuongezeka kuanzia Julai Mosi mwaka huu. Taarifa ya pamoja iliyotolewa jijini Dar es salaam na Umoja wa Makampuni ya Simu za Mkononi Tanzania – MOAT imesema pendekezo la serikali la kuweka kodi ya 14.5 kwenye huduma za simu za mkononi hazitoweza kukwepesha kupanda kwa gharama za simu kwa watumiaji.

MOAT inasema awali kodi ilikuwa ikitozwa asilimia 12.5 katika huduma ya mawasiliano ya simu na kwmaba ongezeko la kufiikia asilimia 14.5 tofauti na nchi za jirani Kenya na Uganda ambazo zimeendelea kutoza viwango vya ushuru vya asilimia 10 na 12.5 tu ni mzigo kwa watumiaji wa huduma za simu za mkononi.

Muswada wa Sheria ya Fedha wa mwaka 2013 unaainisha, huduma za mawasiliano kuwa ni; “huduma yoyote ya maelezo inayotolewa na makampuni ya mawasiliano ya simu kwa njia ya mawasiliano kwa kutoa au kupokea sauti, maandishi, na picha au taarifa ya aina yoyote kupitia mfumo wa kielektronikia,” imesema taarifa hiyo iliyosainiwa na Vodacom, Airtel, Tigo na Zantel

MOAT imesema eneo mojawapo litakaloathirika ni huduma za Intaneti eneo amablo linahitaji kuwekewa mikakati ya kulikuza kutokana na umuhimu wake katika maisha ya sasa kiuchumi na kijamii na wala siyo kulizorotesha kwa kusababisha ongezeko la gharama na hivyo kuendelea kuwa na kiwango cha cha matumizi kilinganishwa na baadhi ya nchi nyengine zikiwemo za Afrika Mashariki. “Hatua hii ya kuongeza kodi itakwenda kinyume na mipango iliyopo yenye lengo la kuibadili jamii kwa kuipatia maarifa ya msingi kupitia huduma ya intaneti sambamba na mawasiliano ya simu.”

Kwa mujibu wa MOAT, Tanzania ni kati ya nchi zenye kiwango cha chini ya matumizi ya huduma ya mtandao wa intaneti katika bara la Afrika ambapo watumiaji wa huduma hiyo ni asilimia 10 pekee ikilinganishwa na nchi jirani ya Kenya ambayo ina zaidi ya watumiaji asilimia 40. Aidha, MOAT imeongeza kuwa, “mawasiliano ya simu si anasa bali ni huduma muhimu katika Tanzania ya leo, sasa tunawezaaje kuwatozakodi mara kwa mara watu hao hao ambao wanaitegemea huduma hiyo ili kuboresha maisha yao? Ilihoji taarifa hiyo ya MOAT.

Taarifa hiyo imeendelea kusema kuwa kwa tozo la kodi ya mapato ya asilimia 35 kwenye sekta hiyo ya mawasiliano ya simu linatosha kiasi ya kwamba sekta hiyo isngeweza kubeba mzigo zaidi wa ongezeko jingine. Hivi sasa, upanuzi wa mawasiliano na miundombinu vijijini ndiyo kipaumbele cha sekta nzima. Tunaamini hapa ndipo ukuaji wa sekta ya mawasiliano ya simu itakapoonekana katika miaka ijayo. Ongezeko lolote la kodi litazorotesha uwezo wetu wa kutanua huduma zetu za mawasiliano na miundombinu maeneo ya vijijini, imesema MOAT.

“Tunaelewa kuwa serikali inayafanya haya yote ili kuweza kupata fedha kwa ajili ya kusaidia kwenye huduma za jamii katika maeneo muhimu. Ni bahati mbaya kwamba sekta ya huduma ya mawasiliano ya simu inaendelea kubeba mzigo mkubwa wa ongezeko hili ambapo wateja watalazimika kuubeba mzigo wa ongezeko hilo,” ilihitimisha taarifa hiyo ya MOAT.

Download free Jamiiforums application for Blackberry

 



JamiiForums | The Home of Great Thinkers - JamiiForums.com
Kwa wale wanaotumia devices za Blackberry iwe simu ya mkononi au Tablet PC, tafadhali tembelea link ifutatayo
Free JamiiForums - Download JamiiForums - Free Apps from BlackBerry App World
ili kuweza kudownload JF Application for Blackberry na kuinstall kwenye kifaa chako Blackberry ambacho unakitumia kwa ajili ya kutembelea JF.

Pia msisahau kutoa maoni yenu kuhusiana na hii application huko kwenye Blackberry Store na sio JF kama mlivyozoea kufanya. Hii itasaidia kuweza kupata maoni yanayoeleweka ambayo pia y
atasaidia kuborasha application hiyo.
 

Thursday, 31 January 2013

Ni simu+tablet= DaPeng A75 yaingia Tanzania kwa bei Nafuu

DaPeng A75 5 inch 3G DualSim Android Smartphone



DaPeng A75 is a Big screen Dual Sim Android Smartphone, its has a 5 inch display with 800*480 resolution.


DaPeng A75 use the last Google Android 4.0 Ice Cream Sandwith OS

 Hot Spot


- 5.0 inch multi-touch screen, 800*480pixel resolution

- Google Android 4.0 OS

- Dual mode GSM & WCDMA network

- 5MP camera, with LED flashlight

- Support dual SIM cards at same time


Specifications:

BRAND and MODEL
    Brand: DaPeng
    Model: A75
    Carrier: Unlocked
    Sim card: Dual sim dual standby
    Multi-Language:English, French, Spanish, Portuguese, Deutsch, Italian, Russian, Vietnamese, Turkish, Bahasa Indonesia


OS and CPU
    Operating System: Google Android 4.0
    CPU: MTK MTK6575 1Ghz CPU
   
NETWORKING
    Dual sim dual standby, WCDMA/GSM+GSM
    2G: GSM 850/900/1800/1900 MHz
    3G: WCDMA HSPDA 850/2100 MHz
    UMTS HSPA 900, 2100 (Global except Americas)
    UMTS HSPA 800, 850, 1900, 2100 (Americas)
    Data Technlogy:  GPRS, Edge, HSPDA

CAMERA and VIDEO
    5.0MP back Camera + 0.3MP front camera
    Max picture size: 3264 x 2448
    Image playback, supported formats: BMP, GIF, JPEG, PNG
    Video playback and recording, supported formats: 3GPP, MP4, 720P(1280 x 720)

CONNECITIVITY and COMMUNICATION
    Micro USB support: 2.0
    WiFi:Wi-Fi IEEE 802.11 b/g/a
    WiFi Hotspot functionality, Tethering & portable hotspot
    Synchronisation via Exchange ActiveSync
    WebKit web browser with zoom
    Bluetooth technology:  Bluetooth 2.1
    VPN
    GPS satellites
    Voice input & output

ENTERNAINMENT
    TrackID music recognition
    3.5 mm audio jack for headphones
    Stereo speakers
    Audio playback, supported formats: MP3, ACC,AMR,OGG,M4AMID,3GP,3G2, MP4, WAV
    Audio recording, supported formats: 720P,3GPP, MP4, AVI, ASF, RM, RMVB(Third party app support)
    3D and motion gaming
    Facebook, Twitter inside


DISPLAY
    Screen Size: 5.0-inch
    Color Support: 16 Million Colors
    Screen Technology:TFT Multi-touch Screen
    Display reulotion: QDH, 800*480 pixels
   
PRE-LOADED APPLICATIONS
    Google Maps
    Google Talk
    Google Mail
    Google Calendar
    Compass
    Documents to go

 MEMORY
    Internal phone storage: 4GB ROM
    RAM: 512MB
    Memory card support : MicroSD Card up to 32gb

BATTERY
    Battery:Built-in Li-on battery, 2800mAh
    Standby time: 150-180 hours

 SIZE
    Dimensions: 143×79×10.5mm
    Weight:165g

IN PACKAGE
    1 x Smartphone DualSim  DaPeng A75
    1 x Travel Charger
    1 x Usb Data Cable
    1 x Headphone
    2 x Batteries
    1 x User Manual

Mwasiliano zaidi piga simu 0756669331, 0654145303      
                                  E-mail: ujenzionline@gmail.com

Wednesday, 16 January 2013

How To Monitor Your PC Or Laptop Temperature


Is your computer shutting down frequently without any notice? Most often, it happens after your leave your computer running for a while, and it just shut down without any message. One of the root courses of this symptom is your PC or Lapter is experiencing high temperature until it hits the the max allowable temperature. The computer will be automatically shutdown to protect the PC from overheating.
So, if you PC is experiencing the symptom of shutting down suddenly and frequently, most probably it is caused by high temperature. One way to confirm the issue it is to measure the temperature of PC or Laptop.
You don't to install a thermometer at your PC or laptop. One of the best ways to monitor is to install temperature reading software that might help you actually know if the problem is causing by overheating. Coretemp is a tiny application which is low on resources and is surprisingly accurate in providing the PC or laptop temperature in real-time. It works by communicating with the built-in digital thermal sensor (DTS) on latest Intel and AMD processors.

It is a tiny but extremely powerful and accurate program which tells you the temperature of each core simultaneously and can be easily installed on Windows 7, Windows Vista and Windows XP. Coretemp can be download athttp://www.alcpu.com/CoreTemp/.

In the above example, CoreTemp reads the temperatue on Duo Core Intel PC. Tj Max is the maximum allowable temperature. If any of core temperature hit Tj Max, the computer will be shutdown automatically to pretect the PC from overheating. The above example, the Cores are measured at 69 deg. C to 70 deg. C, showing that this PC is experiencing an overheating issue.

Wednesday, 9 January 2013

How To Disable FaceBook TimeLine Using Chrome Extension?


Facebook introduced Timeline a way back and it was greeted in a nice manner by many Facebook freaks and we also many Timeline Goodies like creating awesome Facebook Timeline Covers well but there were some complications using it so many people wanted to remove it so that they can get back their original + official Facebook profile layout. So many tweaks were launched to get rid of Timeline but some worked some had some glitches in it so time goes on and now we have a nice, good and permanent solution to remove Facebook Timeline.
TimelineRemove chrome extension does your work instantly just by installing it, you install TimelineRemove extension and rest of the work is done by it automatically. So I just tried it out and here’s the below screenshot I captured with TimelineRemove Off state and than On state. So yes you also get option to switch Timeline back on and Off anytime you want.
Facebook TimelineRemove
So you can see in the above screenshot how this little worthy extension works, well if you are also fed up with your Timeline than you can grab this TimelineRemove Chrome Extensionand enjoy your Facebook experience without any Timeline junk.
Just install it and than visit Facebook.com and you will see that automatically your Timeline is removed but if you ever wanted to get back on it just click on this extension and than click on Status Timelineremove and if it turns into red cross that means your Timeline is back and when it is Green arrow than Timeline is disabled.

Download Timeline Remove for Firefox and Internet Explorer :

As you can see that extension works perfectly on chrome and removes your timeline profile but of you have Firefox or Internet Explorer instead of Chrome than you can download extension for Firefox and Internet Explorer well procedure is same and you will the same icon which you can click to enable or disable your Timeline Profile on your Facebook page.

Kifaa cha Tablet kutoka Afrika



Kifaa cha Tablet
Kifaa cha Tablet kilichoundwa barani Afrika
Simu aina ya smartphone na kompyuta za tablet zinazosemekana kuwa vifaa vya mawasiliano vya kwanza kutengenezwa na kampuni ya Afrika zimezinduliwa.
Vifaa hivyo, ambavyo vimebuniwa na mjasiriamali wa Congo,vinatengenezwa nchini China.
Kampuni yake ya VMK, vifaa vyake vinaendeshwa kwa teknolojia ya Android ya Googles.
Simu hizo za smartphone zitauzwa kwa bei ya rejareja ya dola $170, sawa na pauni za Uingereza (£105) na kompyuta itauzwa kwa dola $300 sawa na pauni (£185).
"Ni Waafrika wenyewe, ndiyo watakaofahamu mahitaji ya Afrika," amesema Bwana Mankou katika mkutano wa Tech4Africa mjini Johannesburg.
"Apple ni kampuni kubwa Marekani, Samsung ni barani Asia na tunataka VMK kuwa kampuni kubwa barani Afrika."
Kifaa cha Tablet kilichoundwa barani Afrika
Blogu ya teknolojia ya Smartplanet imeripoti kuwa kompyuta za VMK zinatoa huduma ya uunganishaji wa wi-fi na uwezo wa gigabytes 4 ambazo zimehifadhiwa ndani yake.
Jina lake, Way-C, lina maana ya "mwanga wa nyota" katika lugha ya Kilingala.
Simu hiyo ya smartphone nyuma na mbele ina kamera na skrini ya ukubwa wa inchi 3.5 sawa na sentimita 8.9.
Verone Mankou
Verone Mankou, ndiye aliyeunda kifaa hiki
Kuna mipango ya kuuza simu hizi katika nchi kumi za Afrika Magharibi pamoja na Ubelhiji, Ufaransa na India.
Bwana Mankou amesema anatarajia kuzindua uuzaji wa kompyuta za bei nafuu zaidi kwa wanafunzi mwaka ujao.
VMK imesisitiza kuwa wakati bidhaa zake zinatengenezwa China kwa sababu za unafuu wa gharama, ubunifu na uhandisi wa simu hizo ni wa Kiafrika.
Hii ni kutokana na baadhi ya watu au kampuni za biashara kupinga uwezo wa kampuni hiyo katika teknolojia ya simu na kompyuta.
Kampuni ya VMK imesema kinyume na bidhaa nyingine za awali za simu na komputa zilizosemekana kuwa za Afrika, bidhaa za VMK hazifanani na bidhaa zozote za aina hiyo katika nchi nyingine.
 
Copyright © 2013 Ujenzi Online
Share on Blogger Template Free Download. Powered byBlogger